Tuesday, April 30, 2013

Wataka Profesa avuliwe taji la udaktari

 30 Aprili, 2013 - Saa 08:49 GMT

Wasomi nchini Australia wametaka mpasuaji wa kichina anayetuhumiwa kufanya biashara haramu ya viungo vya mwili kuvuliwa taji la mtaalamu alilopewa katika chuo kikuu cha cha Sydney.
Huang Jiefu, aliyesomea taaluma hiyo huko Sydney, hivi maajuzi aliongezewa muda taji hilo la kuwa Profesa kwa miaka mitatu inayokuja.
Lakini wasomi kutoka kitengo cha afya cha chuo kikuu hicho wamemtaja kuwa bingwakwa jitihada zake katika kuleta mageuzi kwenye taaluam hiyo.
Chuo kikuu cha Sydney ni mojawapo ya vyuo vikuu vilivyo na sifa kuu nchini Australia.Mnamo mwaka 2005 Huang Jiefu,alikuwa afisa mkuu wa kwanza wa afya aliyefichua mtindo wa China kutoa viuongo vya mwili kutoka kwa wafungwa.
Na anatazamwa na wengi kama aliyeleta mageuzi katika katika mfumo huo unaoshutumiwa kwa ukubwa.
Kwa waliopanga ombi la kutaka apokonywe taji alilopewa wanaona kwamba anahusika na mfumo huo usio na maadili na amehusika katika hilo kwa kufanya upasuaji wa kutoa ma kubadili viungo hivyo.
Wanadai kuwa yeye na maafisa wa serikali Beijing wametoa malipo ili kusitisha biashara hiyo haramu.
Kw amujibu wa mashirika ya kutetea haki za binaadamu China huua wafungwa takriban 4000 kila mwaka kwa kutumia sindano yenye sumu ili kutoa viungo hivyo katika miili ya wafungwa hao.

HAMMER Q AMTOA MANUNDU MKEWE BAADA YA UTAMBULISHO WA TX MOSHI

Baadhi ya picha za mkewe baada ya kipigo






Nguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damu


Watoto walevamu Ghana wapata afueni

 30 Aprili, 2013 - Saa 09:33 GMT

Viongozi wa kijadi kaskazini mwa Ghana wamekubaliana kumaliza vitendo vya mauaji ya watoto wachanga wenye ulemavu ambao inaaminika walikuwa na pepo.
Watoto wenye ulemavu walionekana kama wenye mkosi hivyo walinyweshwa sumu ili kuwaua.
Mmoja wa wanaharakati ameiambia BBC kwamba, kuboreshwa kwa huduma za afya na elimu kumesababisha kupungua kwa imani hizo potofu.
Mwanaharakati Raymond Ayine, amepongeza uamuzi huo ambao utahusisha miji saba. Lakini akadai kwamba, hakuna uhakika kama mauaji hayo yamezuiwa nchi nzima.
Mwandishi wa BBC, Vera Kwakofi, anasema mkoa wa Kasena Nankana ambako uamuzi huo umetangazwa ni eneo ambalo imani hiyo ilikuwa imeshamiri.
Wakati mwingine watoto waliozaliwa na kuhisiwa kuwa ni mkosi katika familia pia walituhumiwa kuwa watoto wenye mapepo nao waliuawa.
Kundi la wanaume waliokuwa wakiwapa sumu watoto, sasa wamepewa majukumu mapya ambapo watafanya kazi na watoto hao walemavu kuhamasisha haki zao.
Mwandishi mmoja wa habari za kiuchunguzi, Anas Aremeyaw, ameiambia BBC kwamba, alichukua mwanasesere na kumpeleka kwa mtabiri, na kumwambia kuwa huyo alikuwa mtoto mwenye matatizo ya kula chakula na ulemavu wa viungo.
Baada ya mtabiri huyo kuzungumza na mizimu huku akiruka juu na chini, na baada ya hapo alidai kwamba, mizimu imethibitisha kwamba, mtoto huyo ana mapepo na anastahili kuuawa mara moja na pia mtoto huyo tayari amekwishawaua watu wawili wa familia yake.
Mmoja wa viongozi wa kijadi, Naba Henry Abawine Amenga Etigo, amesema kuwa, kuanzia sasa mtu yeyote atakayekamatwa akijaribu kuwadhuru tena watoto wenye ulemavu atakabidhiwa kwa polisi.
Bwana Ayine, kutoka kundi la wanaharakati la Afrikids, amesema amesikitishwa kwamba, katika zama hizi, mtoto anaweza kupoteza maisha yake kwa sababu ya vitendo hivi vya kikatili.
Amebainisha kuwa, katika maeneo ya vijijini ambako imani hizo zimeenea, wanawake kwa kawaida hujifungua bila kupata huduma za wauguzi na hata vipimo kabla ya kujifungua. Kutokana na hali hiyo, akina mama wajawazito hupata matatizo wakati wa kujifungua kuliko sehemu nyingine.
Amefafanua kuwa, hata kabla ya mauaji hayo kupigwa marufuku rasmi, hakukuwa na takwimu zilizohifadhiwa kuhusu mauaji ya watoto wenye pepo katika eneo hilo katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
Katika maeneo mengine ya kaskazini mwa Ghana, wanawake vikongwe wanaotuhumiwa kwa uchawi, wakati mwingine hulazimika kuhama makazi yao na kwenda kuishi kwenye kambi rasmi za watu wanaotuhumiwa kwa uchawi.

Syria: Al-Qaeda's battle for control of Assad's chemical weapons plant

A battle near a factory believed to be one of the Syrian regime's main chemical weapons plants shows just how close such weapons could be to falling into al-Qaeda's hands, writes Colin Freeman.

Syria: Al-Qaeda's battle for control of Assad's chemical weapons plant
A location widely reported as a chemical weapons facility in Al Safirah Photo: Getty Images
Set amid the rolling plains outside Aleppo, the town of al-Safira looks just like another vicious battleground in Syria's civil war. On one side are lightly-armed rebels, on the other are government troops, and in between is a hotly-contested no-man's land of bombed-out homes and burned-out military vehicles.
The fight for al-Safira is no ordinary turf war, however, and the prize can be found behind the perimeter walls of the heavily-guarded military base on the edge of town. Inside what looks like a drab industrial estate is one of Syria's main facilities for producing chemical weapons - and among its products is sarin, the lethal nerve gas that the regime is now feared to be deploying in its bid to cling to power.