Saturday, June 1, 2013

ZANZIBAR YAPIGA MARUFUKU NDOA ZA JINSIA MOJA.....UKINASWA IMEKULA KWAKO ( MIAKA 30 JELA )



Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, imetunga sheria ya kupiga marufuku ndoa za watu wa jinsia moja.Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Bwana Abubakar Khamis Bakar, aliyasema hayo kwenye Kikao cha Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Wawi, Saleh Nassor Juma kutoka Chama cha Wananchi (CUF).

Katika swali lake, Bw. Saleh Nassor Juma alitaka kujua ni lini Serikali ya Zanzibar itatunga sheria ya kukataza ndoa hizo na kuweka adhabu kali kwa watu ambao watabainika kufanya vitendo hivyo vichafu. 


Waziri Abubakar amesema, ndoa za watu wa jinsia moja ni kinyume na utamaduni wa Zanzibar na kwamba sheria hiyo imeweka adhabu ya kifungo cha miaka saba kwa wale wote watakaopatikana na hatia hiyo.

Pia alisema kama ninavyomnukuu: "Sheria hii inahusu makosa mengi yakiwemo ya ubakaji, zinaa, usagaji na umalaya ambayo yote yana adhabu ya kifungo cha maisha au miaka isiyopungua 30 gerezani," mwisho wa kunukuu.

KIBAKA ACHOMWA MOTO HUKO MBAGALA BAADA YA KUIBA BEGI NA SIMU...


Jamaa  akimmalizia mtuhumiwa kwa  tofali...
 Kibaka  mmoja  amejikuta  akiyaaga  maisha ya  uraiani  baada ya   kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali....

Tukio hili limetokea maeneo ya mbagala charambe mida ya saa sita mchana baada ya kibaka huyu kuingia  ndani ya nyumba ya mtu na kuiba begi...

Taarifa zinaeleza kwamba, raia mwema ambaye ni mkazi wa nyumba hiyo alisahau kufunga mlango  na  kwenda kwa jirani...Alipotoka tu, Kibaka huyo alizama   ndani na kuchukua begi la nguo taratiiibu kama lake! 

Hakuridhika na begi,  alivyotazama pembeni aliona kuna  simu .Bila  kupoteza muda, kibaka huyo aliihifadhi mfukoni ..

Balaa  liliazanza wakati anajiandaa  kutoka...Alipofika  mlangoni, kibaka huyo alikutana na mwenye nyumba uso kwa uso.....!!! 

SINEMA ILIANZIA HAPO!!!!! Watu mwiziii... mwiziiii mwiziiiiiiiiiii....!!!!! 

Kutokana na uzoefu wake wa muda mrefu, jamaa huyo alibahatika kujisweka ndani  jumba bovu lililoko uchochoroni na kuinusuru roho yake....

Raia wenye hasira kali hawakumuona wakapita, Kufika mbele kidogo walikata tamaa. Wakati wanarudi nyumbani kwao mara ghafla  jamaa  akakurupuka na  kuchomoka kwenye dirisha la lile jengo bovu alikokuwa amejificha....
 
Harakati zikaanza upyaaaaaa!!!!! YAAAANI...!! jambazi hakuchukua raundi akatiwa mikononi... 

MPENDWA msomaji,   mambo yalienda kama tunavyoona hapo pichani.
Moto unawaka!
 Tairi limeletwa
Mwizi  amevishwa tairi na kutiwa moto!

masaimbofu

Chuck Hagel accuses China of 'cyber intrusions' on US

June 1, 2013 US Defense Secretary Chuck Hagel has accused China of waging cyber espionage against the United States, stepping up pressure on Beijing over the issue ahead of a key bilateral summit.
Chuck Hagel: Chuck Hagel accuses China of 'cyber intrusions' on US
Chuck Hagel accuses China of 'cyber intrusions' on US  Photo: AP
Speaking at a Singapore security forum attended by senior Chinese military officials, the Pentagon chief pointedly blamed the Chinese government and armed forces for repeated intrusions into sensitive US information systems.
"The United States has expressed our concerns about the growing threat of cyber intrusions, some of which appear to be tied to the Chinese government and military," he told an annual conference known as the Shangri-La Dialogue.
Hagel pressed Beijing to adhere to "international norms of responsible behaviour in cyberspace", while acknowledging that the establishment of a joint cyber security working group was a positive step in fostering US-China dialogue on such issues.
The Singapore forum came ahead of the June 7-8 meeting between US President Barack Obama and his Chinese counterpart Xi Jinping in California, the two leaders' first meeting since Xi took office in March.
China's delegation to the Singapore meeting was led by Lieutenant General Qi Jianguo, a deputy chief of the general staff of the People's Liberation Army.