Monday, December 10, 2012

Rais Kikwete amkabidhi nishani Bikidude

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mrisho Jakaya Kikwete akimkabidhi tunzo Mwimbaji mkongwe wa Zanzibar Bi kidude
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete,akimtunuku Nishani ya Sanaa na Michezo Bi Fatma Baraka Khamis,(Kidude) kupitia Basaza katika sherehe za kutunuku nishani mbali mbali katika viwanja vya Ikulu Dar des Salaam,katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru wa Tanganyika

No comments:

Post a Comment