Friday, November 30, 2012

MATOKEO YA MAONI JUU YA KATIBA


Matokeo ya maoni juu ya katiba mpya zanzibar


Maoni leo asubuhi FUONI: Waliotaka Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kufuatiwa na Muungano wa Mkataba kati yake na Tanganyika ni 54; na Waliotaka muundo wa sasa wa Muungano wa Serikali mbili uendelee lakini ufanyiwe marekebisho ili kuipa hadhi Zanzibar na Rais wake ni 74.
Maoni leo jioni KWARARA: Waliotaka Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kufuatiwa na Muungano wa Mkataba kati yake na Tanganyika ni 54; na Waliotaka muundo wa sasa wa Muungano wa Serikali Mbili uendelee lakini ufanyiwe marekebisho ya kuirejeshea Zanzibar nafasi yake kama mshiriki sawa ndani ya Muungano ni 71.

No comments:

Post a Comment