Friday, November 30, 2012

NEW CONSTITUTION


Wa Mkataba na Muundo wa sasa waumana Z’bar

Katuni ya Katiba
Maoni asubuhi 29 Nov. 2012  FUONI:  Waliotaka Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kufuatiwa na Muungano wa Mkataba kati yake na Tanganyika ni 54; na waliotaka muundo wa sasa wa Muungano wa Serikali mbili uendelee lakini ufanyiwe marekebisho ili kuipa hadhi Zanzibar na Rais wake ni 74.
Maoni 29 Nov. 2012 jioni KWARARA:  Waliotaka Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kufuatiwa na Muungano wa Mkataba kati yake na Tanganyika ni 54; na waliotaka muundo wa sasa wa Muungano wa Serikali Mbili uendelee lakini ufanyiwe marekebisho ya kuirejeshea Zanzibar nafasi yake kama mshiriki sawa ndani ya Muungano ni 71.

No comments:

Post a Comment